Trab na Trat
Member
- Sep 30, 2022
- 34
- 74
Hawa watu hawajali kabisa wateja wao hasa wanaoishi kwenye maeneo ya kipato cha chini.
Kuanzia Jumamosi Jioni, huduma za internet zilishuka ghafla katika eneo la Chigongwe - Halmashauri ya Dodoma Jiji.
Mpaka hivi leo huduma za internet zinasua sua na taarifa wanazo ila wameamua kupuuza.
Tatizo kama hilo lilijitokeza eneo la Nkuhungu siku hiyo hiyo, ila kwakuwa Nkuhungu wanaishi watu wenye hadhi, kampuni ilifix tatizo muda mfupi sana baada ya tatizo kutokea.
Usipokuwa na hela mpaka nzi watakudharau wakijua huwezi kuwapiga sumu.
Kuanzia Jumamosi Jioni, huduma za internet zilishuka ghafla katika eneo la Chigongwe - Halmashauri ya Dodoma Jiji.
Mpaka hivi leo huduma za internet zinasua sua na taarifa wanazo ila wameamua kupuuza.
Tatizo kama hilo lilijitokeza eneo la Nkuhungu siku hiyo hiyo, ila kwakuwa Nkuhungu wanaishi watu wenye hadhi, kampuni ilifix tatizo muda mfupi sana baada ya tatizo kutokea.
Usipokuwa na hela mpaka nzi watakudharau wakijua huwezi kuwapiga sumu.