Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

angalia setting ya simu yako dada,, ama sivyo utahama mitandao yote coz smartphone huji uptade data hata kama huzitumii,
 
angalia setting ya simu yako dada,, ama sivyo utahama mitandao yote coz smartphone huji uptade data hata kama huzitumii,

Setting nimeangalia nimewapelekea pia wenyewe kwenye tawi lao lakin leo nimenunua salio la elfu 5kwa M_pesa na still wamelikomba bila kutumia huduma yeyote narudia Voda acheni wizi hata kama ni faida mnataka si kwa kuibia wateja
 
Tatizo la Voda ukiwekea salio kwenye hizi simu zetu za Adroid huku Data ikiwa on ujuwe salio lako linatumika kimya kimya.
YOTE KWA YOTE AIRTEL NI NAAFUU KIDOGO
 
wewe unacheza ukishaweka kabla hujajiunga wananyakua pesa yao,mi laini ya voda imebaki kwa ajili ya mpesa tu

Na ndilo tatizo linalonikumba mie nimepeleka hadi oficin kwao waknambia iko shwari leo naweka salio yanajirudia matatizo yaleyale najua itachukua muda kuwahama kutukanana na wateja wa ofcn kwangu but eventually nitawahama tu
 
Hizi ni hitilafu za kiufundi, wanazijua lakini ni wavivu kuzirekebisha. Siyo hao tu uliyowataja, karibia mitandao yote, ukiweka salio la kutosha, mara ukwate lote au kiasi bila huduma yoyote ile. Au uungwe kwenye huduma zao kilazima na kuanza kukatwa salio.
 

Huu ni wizi wa mchana inawezekana usemayo ni kwel Kwan nimewapigia simu nimeenda oficin waknambia tatizo limeisha ila bado lipo kwann watufanyie uhuni huu? Kuwa tu wateja wao wenye kununua bando za wiki ama mwezi hawaoni kama ni jambo jema? Badiliken Vodacom wizi si mpango
 
Reactions: SMU
Jaribu kuwa unazima data kabla ya ku top up hiyo voucher na unawasha tena hutalalamika tena ukifanya hivyo, smartphone zina applications zinazoendelea hata kama hujatembelea.
 
Huu ni upumbavu.
Hivi hawa watu wanaotoa huduma hizi za simu wanatuonaje wateja wao?
Je wametugeuza migodi ya pesa ama kitu gani? Hiyo elimu ya biashara na huduma kwa mteja ni nani mwalimu wao au wapumbavu wao...?
Tizama nimejiunga na kifurushi cha tigo kama mb 900 hivi..then baada ya kujiunga huduma zao zikafanya fujo then zinakuja kurudi muda wa kifurushi umekwisha kisha unawapigia simu wakupe ufafanuzi wanakujibu kua hayawahusu..hii maana yake nini?....
Natamani kusema "ku" lakini namuheshimu mama..jirekebisheni bwana..pesa haichumwi mtini.
 
Dawa yao hawa ni kununua salio kupitia M_pesa kulingana na kifurushi unachotaka kununua, mimi pia ni mhanga wa tatizo hilo ila kwa sasa hawanipati kwa kuwa natumia njia niliyoieleza hapo juu.

Nikweli,,,,,,ILA KATIKA MTANDAO ULIO SALAMA,VODA NI NAMBA MOJA,,,,,HUU MWAKA WA 15YRS. NATUMIA VODA NA TIGO,,ILA KWA VODA SIJAWAI KUJUTA
 

Mara nyingine hizi hitilafu zinafanywa makusudi na wafanyakazi wasi waaminifu. Unaweza kuona kama mchefu fulani hivi mchafu. Kwa sababu siku wakiamua wanakata ovyo ovyo, siku wanatulia paka utafurahi. Hata ukiwafuata ofisini hawana majibu ya kuridhisha na wengine utakutana nao pale ambao hawajui chochote kuhusu kazi yao.
 
I think i will try that inauma sana unaweka salio afu hujatumia hata sent bt linatoweka kimiujiza

Hizi fm za smart zinavitu vingi vinavyotumia internet , hivyo kabla ya kuweka hela weka data off hadi utakapokua umepokea bando.
 
Nikweli,,,,,,ILA KATIKA MTANDAO ULIO SALAMA,VODA NI NAMBA MOJA,,,,,HUU MWAKA WA 15YRS. NATUMIA VODA NA TIGO,,ILA KWA VODA SIJAWAI KUJUTA

Nitajaribu tena VODA maana kwa sasa TIGO NI TATIZO na hawasikilizi tena malalamiko wao wanapiga hela tu!
 
Nadhani kuna kasoro kubwa kwa mitandao yote ya simu...

Mara nyingi njia nzuri ya kuongeza salio/vifurushu ni kwa kutumia miamala ya Mobile Money...
 
Wewe nawe ndy wale wale mpaka mtu anaanzisha uzi hapa uje ehajakurupuka

hoja nzito mnajibu kwa majibu mepesi mepesi tu ptu ptuu Mulugo's type 😡😡

Kama mnabisha weka hiyo vocha kwenye Nokia ya tochi isiyo na uwezo was 3G tuone kama itakatwa...acheni ubishi. Unatakiwa uzime internet kabla hujaweka vocha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…