Mitandao yote ya simu Tanzania ni wezi. Na hii mi TCRA imekaa kujilia miposho na misafari isiyokwisha.
Amkeni, Watanzania wanaibiwa huku bila huruma.
jamani mwanza internet ya vodacom ni slow balaa.
Ofisi zao ziko Ubungo Plaza nduguAsante mkuu kwa ushauri, ofisi ziko wapi Ubungo?
Guys we are the best in blaming always, and this has been our culture..for me its different sincerely i make calls with airtel but internet Vodacom is the best, unless your devices have problems, wadau mbona nipo kigogo tu halafu net ya voda ni spidiiiiiii
Jamaa alie tengeneza Application ya Spy Mobile anajua sana!! Nilidhani itakua magumashi kitu kina spy fresh napata calls, sms, gps na hata text za whassap za mpenzi wangu. Yani ina hack mobile activity. Iko poa sana japo kuidownload inalipiwa kama dollar 2 kuna watu humu jf wali ni PM jinsi ya kuipata waweze kudownload. Kuipata Application hiyo bofya hapa http://tinyurl.com/ljpylxf ni kwa watumiaji wa android tu.
mjini wanawaogopa ukawaMbona huduma ya 3G Mmeweka mjini tuu... sisi wa vijijini mnatuzungumziaje?? Au y mnatubagua? Naomba majibu