Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Jamani enyi voda mmenikata hela yangu tar 12 nikawapigia mkaniambia mnalishughulikia lkn cha kushangaza ni week sasa mko kimya na mmezuia kuwapigia eti mpaka mnikate sh 100.jamani nyie voda vp kwa nn mnapenda kutuudhi Wateja wenu???.?
Naombeni mlishughulikie ttzo langu namba yangu hiyo 0763994423
 
aisee mbona mimi siwaelewi kuhusu hii MPAWA? yaani kila nikitaka kukopa naambiwa niende kwendo duka la voda na vitambulisho kuhakiki taarifa zangu. niliwaambia umu mkanipa link nikafanya hivyo nikafurahia huduma hiyo kwa week mbili tu baada ya hapo tatizo limerudi tena pale pale. Sasa wengine tunaishi nje na mji mpaka kulipata hilo duka la voda lazima usafiri. Maana naogopa ata kuendelea kuweka pesa uko MPAWA kwa kuhofia
 
Bandugu inashangaza voda wanavyoibia watu na wizara imekaa tu ohhh nataka kugombea urais sijui ndo kazi za hii wizara? Najua kuna watakaosema napambana na makamba jr. Hapana ila nimechukizwa sana, jana sa kumi nilokopa 900. Sa kumi na mbili na nikajiunga mia nne. Nikaacha mia tano kwani sina matumizi makubwa na voda sasa hivi na pata sms kifurushi kimekwisha nikaona nijiunge na ile balance yangu cha ajabu salio ni ziro , je? Salio la kuujiunga jana kama liliisha kwa nini wasingenitaarfu kabla mpaka wamalizie na mia tano yangu? Huu ni wizi na haukubaliki
...
 
Mimi wameshaiba sh 300000,kwenye akaunti ya mpesa sasa hivi!washenzi hawa kesho nnawaamkia makao makuu mlimani city.Wezi kabisa hawa ccm wanalazimisha pesa lwa nguvu ya kuhonga uchaguzi
 
Pole Yohana, tafadhali tutumie kumbukumbu namba kwa msaada zaidi.
 

Habari mkuu, tafadhali tunaomba uvumilivu wako na tutawasiliana nawe kuhusu hili. Pole
 
Nikama miezi miwili sasa mawasiliano nishida huku wilaya ya korogwe vijijini kama vile kwasunga,kiloza mgobe hadi Korogwe,ukiongea namtu mnaweza msielewane kunakuwa na mikwaluzo,lakini ukipigiwa na mtu wa mtandao mwingine mnaongea vizuri bila matatizo
 
voda wamekubuhu ila sasa tigo ndo nao wezi wakubwa kabisa tena sana
 

Ndo walivyo hao ukijiunga halafu ukabakiza salio wanahakikisha wamemaliza salio lote ndo wakutumie message. Me siku hizi hawanipati ng'o nikijiunga nahakikisha salio limebaki 0.
 
Nashauri kitu kama unatumia.smartphone ikiwa ni android or ios ni bora uwe na wastani wa 500mb kwa siku na hapo ni kama huendi youtube ama kudownload videos iwe wasup shared au kwingineko hiyo ni kubrowse tu maana hizi simu kila kukicha updates ambazo zinakosti kama 100mb au zaidi na mbaya uwe umeka autoupdate sasa wengine mnaunga vifurishi vya 1000 humo humo mb na kupiga simu halafu mnakuja kulala mika hapa angalieni hizo simu vinginevo disable autoupdates zote na any synchronisation iwe social network email au application kama google.drive na kadhalika
 
Mnasema oh voda hakuna spidi haya angalieni download spidi inafika hadi 3mbs/sec japo inastabilize kwenye 1.2mbs/sec ina shuka hadi 700-400kbs/sec sasa hapo unataka nini tena. Au mnatumia modem za aina gani? Spidi inategemea na downloader, web yenyewe, site uliopo na aina ya network iliyopo kwenye simu yako.
 
Vodacomu mtandao chakavu
Wanatoa huduma mbovu

Kwa gharama ndo wanaongoza
Mtandao umekaa kama genge la matapeli

Wanaongoza kwa huduma mbovu kwa mteja
Wanategemea kuchota pesa za wateja kijangili

Tigo ndo mpango mzima
Basi voda igeni mfano
 
Vodacomu mtandao chakavu
Wanatoa huduma mbovu

Kwa gharama ndo wanaongoza
Mtandao umekaa kama genge la matapeli

Wanaongoza kwa huduma mbovu kwa mteja
Wanategemea kuchota pesa za wateja kijangili

Tigo ndo mpango mzima
Basi voda igeni mfano

Siyo kweli mkuu

Voda sitakaa niiache
 
Voda nyinyi ni wezi sana na laiti kama hao wahudumu wenu nilioongea nao tar 22 na 23 wangekuwa karibu ningewazaba vibao wanavunga wanajua kumbe hawajui yaani nyie ni wezi nyie ni maescrow kabisa mnatuibia hela zetu makusudi tukiwapigia na vielelezo kamili mnabisha tu acheni hizo hata Sisi tuna uchungu wa pesa zetu Sisi siyo mitaji yenu wala mashamba yenu mmenibore sana kwa majibu yenu na soon nitawahama hata of a zenu wizi tu
Mtu nmenunua Salio mpesa kwa confirmation BK81GN266 halafu mnanijibu eti hiyo hela imeletwa tar 14 cha kushangaza napiga tena naambiwa hiyo hela haitambuliki kabisa tena kwa kukwepa maswali kanakimbilia kuniambia eti Vodacom inakutakia siku njema then kanakata Simu acheni ufisadi mmenibore mtandao siyo wenu tu hata ttcl zantel Tigo na airtel tutahamia na kama ni hivi basi punde mtaanza hata kutuibia kwenye account zetu za mpesa.
Mmeniudhi sana sina hamu na nyie na siweki Salio tena mpaka nitakapovunja line yenu.....0763994423 ndo namba yangu.
 
Hivi kwa nini mna sponsor blog zenye matusi za watanzania?

Kwa kweli kwa jina la vodacom/vodafone duniani mnatia aibu sana ku sponsor blog ya mwanamke anayetukana watanzania wenzake na kusisisitiza uadui na mabaya hata kuhatarisha maisha ya watu kwa kutoa dtails zao private.

inabidi mauahane na haya ma blog esp ya huyo mdada, najua mnaijua ila mmefumbia macho. soon itabidi na magazeti yaongelee hii issue na wateja wenu waone hata wale wateja wanaotaka jiunga nanyi wawakimbie maana ni hatari sana kwa mnalofanya.

eti mnasponsor matusi, ugomvi, bullying, detah threats, mengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…