Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
VODACOM.
Namba zangu za simu ni 0755519736
siku ya leo simu yangu ilikuwa na salio la 250 na nikakatwa 83 sh/ Na hivyo ikabaki sh 167 nimeongea na vodacom huduma kwa wateja na kuwaeleza tatizo langu la salio kukatwa na hadi muda huu sijapata muafaka wowote,wakti salio langu limekatwa simu yangu ilikuwa na MB,DAKIKA na SMS.
Majira ya saa 11:19:37 pm nikapata sms ilokuja na jina REMEDY,Napenda kuicopy sms hiyo hapa :
"Ombi lako limepewa namba CSR118369841. Tutakujulisha punde tu litakapotatuliwa. Asante kwa kuchagua Vodacom."
mpaka muda huu salio langu halijarudi na nimeongea tena na kituo cha huduma kwa wateja na jibu nilopewa si la kuridhisha.
Napenda kuwauliza voda ni lini na saa ngapi mtarudi pesa yangu mlokata au ni mfumo mpya wa kutuibia wateja wenu ?
Nategemea jibu mtanipa kupitia namba yangu ya simu kwani sitoweza kuingia tena ktk mtandao wa internet kwa kuwa salio langu lishachukuliwa.
NYONGEZA:mimi nipo mkoa wa Arusha.
Namba zangu za simu ni 0755519736
siku ya leo simu yangu ilikuwa na salio la 250 na nikakatwa 83 sh/ Na hivyo ikabaki sh 167 nimeongea na vodacom huduma kwa wateja na kuwaeleza tatizo langu la salio kukatwa na hadi muda huu sijapata muafaka wowote,wakti salio langu limekatwa simu yangu ilikuwa na MB,DAKIKA na SMS.
Majira ya saa 11:19:37 pm nikapata sms ilokuja na jina REMEDY,Napenda kuicopy sms hiyo hapa :
"Ombi lako limepewa namba CSR118369841. Tutakujulisha punde tu litakapotatuliwa. Asante kwa kuchagua Vodacom."
mpaka muda huu salio langu halijarudi na nimeongea tena na kituo cha huduma kwa wateja na jibu nilopewa si la kuridhisha.
Napenda kuwauliza voda ni lini na saa ngapi mtarudi pesa yangu mlokata au ni mfumo mpya wa kutuibia wateja wenu ?
Nategemea jibu mtanipa kupitia namba yangu ya simu kwani sitoweza kuingia tena ktk mtandao wa internet kwa kuwa salio langu lishachukuliwa.
NYONGEZA:mimi nipo mkoa wa Arusha.