Kiukweli matatizo mliyonayo ninyi wenye hii kampuni ni mengi mno, mara kwa mara tunawaeleza matatizo yaliyopo lakini hamna msaada wowote ule! Napenda kuwakumbusha machache kati ya hayo mengi, neti yenu ni yenye mwendo wa kinyonga hada eneo hili nililopo mm hapa kwenye huu mnara wa Maisome island, Tafadhalini sana ongezeeni nguvu ya mtandao. (2)Kuna nyakati kadhaa tunaweka salio na kuchagua bando,cha hajabu ukitaka kuwasiliana tu, ndipo tunaelezwa ya kwamba kuna tatizo! baada ya muda tena tunaambiwa salio limeisha! (3) Endapo tunaweka muda wa maongezi bila ya kijiunga, basi hiyo pesa mnaikomba kidogo kidogo na hata kama ni zaidi ya tshs:5,000/=itaisha yote hata kama nikiwa nimezima data!
NINACHOAMINI VODA NI WEZI MLIO ALALISHWA NA SERIKALI!