OPole Sana wameniibiVifurushi vya internet vimekuwa vikibadishwa kila siku yaani vinashushwa leo nilitaka kuunga "ya kwa ko internet nmekuta vimeshuka kutoka MB3205 kwa wiki ila leo nakuta sh. 2000 kwa Mb 350 kwa siku 5 na sh. 10000 mb 3000 kwa siku 7 ..kwaherini voda mmekuwa wapumbavu kupita kiasi
Yaani Nilijua Nimimi Tuuh Nami Naona wamenibadirishia Toka 2000 MB3072 Mpka MB350 Kwa Siku 5 yaani Nimejikuta Nashangaa Kuzani labda Nimeibiwa.Vifurushi vya internet vimekuwa vikibadishwa kila siku yaani vinashushwa leo nilitaka kuunga "ya kwa ko internet nmekuta vimeshuka kutoka MB3205 kwa wiki ila leo nakuta sh. 2000 kwa Mb 350 kwa siku 5 na sh. 10000 mb 3000 kwa siku 7 ..kwaherini voda mmekuwa wapumbavu kupita kiasi
Airtel wako poa sana 1500 dakika 150 na MB 750 kwa wikiYaani Nilijua Nimimi Tuuh Nami Naona wamenibadirishia Toka 2000 MB3072 Mpka MB350 Kwa Siku 5 yaani Nimejikuta Nashangaa Kuzani labda Nimeibiwa.
Vodacom Nilihama Mtandao Flani Kuja kwenu Ila Naona Mnataka Nihame Kwenu Nirudi Nilikotoka.
Mnahuduma Za Gharama Ya juu Sana, Lol!!
Sajili laini nyingine .jamani namba yangu ya voda kila nikipigiwa na watu wa tgo naambiwa namba haipo na ukitumiwa sms na watu hao hao wa tgo sms inakuletea ujumbe fail to deliver naomba ushauri nimeenda voda mpaka wao wameshindwa naomba wataalamu zaidi wanisaidie. Namba ni ...
ZMbona mimi sipati huduma ya mkopo toka mpawa?? Ilihali ninaakiba tu ya kutosha niliyojiwekea kwenye mpawa??