LexPaulsen
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 316
- 609
Supa uni,siku ambayo niliweka buku mbili(2000) nikajiunga na bando la chuo ndani yake unapata muda wa maongezi ya voda to voda na dakika chache mitandao mingine shindani na gb 1(mb 1000) za my surf internet lkn kilichonikuta siku within a few hours nikapewa sms notification kuwa mb zimekwisha.Sikuamini lkn ndio hvyo ilikuwa zimekwisha.
From that day no long Vodacom member period!,ilikuwa ni ujuzi wa kiwango cha juu sana .
Nilijaribu kuwapigia customer care huwezi amini nilikutana na utaratibu mreefu hadi kumfikia muhudumu alikuwa zamu, maelezo hayakujitosheleza kuhusu matumizi yngu au ni nni kilitokea hadi kufilisiwa mb zangu.
Vodacom asanteni kwa huduma zenu lkn mmi tena basi[emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
hureeeeeèeeeee nice one,wakiendelea kuzinguaKuna wizi mkubwa kwa fedha za salio za wateja unaoendelea sasa hivi katika mtandao wa Vodacom.
Kwa vile hili si jungu bali ukweli nimisha report wizi huo katika kitengo cha malalamiko TCRA kwa hatua zaidi.
Nimeweka salio la Tsha 10,000 mchana wa leo kwa Mpesa ref Y23SY687 na baada ya muda mfupi nikakuta salio langu la maongezi ni sifuri.
Nikanunua vocha na kutumiwa tshs 10,000 na hela yote imekatwa tena.
Wateja wa Vodacom jihadharini, kuna mwizi kaingia mtandaoni Vodacom
UPDATE
=====
VODACOM wamefanya ustaarabu wa kunipigia baada ya kuona detail ya transaction hapo juu, na kuiona kwenye mtandao wa Jamiiforums.
Kimsingi wameapologise kwa mtafaruku uliotokea lakini wamenieleza nifike ofisini kwao kuona aian ya simu ninyotumia isije ikawa data apps ziko wazi.
Na kweli baada ya maongezi ya kuchunguza, mobile data setting ilikuwa ON, na mimeizima sasa.
Hata hivyo ni vema nitaenda kupata maelezo ya kuyeyuka kwa salio langu , karibu 20,000, kwa siku moja.
Wanabodi mtajulishwa inawezekana kuna wenye tatizo kama langu.
UPDATE
=====
Nimeonana na waheshimiwa sana wa Customer Care pale Block 4 Mlimani City.
Cha kusikitisha ni wao kushindwa kuchukua malalamiko yangu na kuyafanyia kazi, na hii ni licha ya kuwaelewesha kuwa hili tukio nalijawahi kunitokea na hii kuwa ni mara ya kwanza.
Hawa jamaa wa Customer Care ni kama mabalozi waliopewa jukumu la kusafisha kampuni ya VODACOM hata kama inanuka kwa wizi uliodhahiri.
Kitu ambacho hawajui ni kuwa nilifanya due diligence kupitia wafanyakazi ndani ya VODACOM walionidhihirishia kuwa kuna wafanyakazi wasio waaminifu ambao wana access na personal security settings za wateja.
Na wafanyakazi hao huwa "wapiga kishenzi" fedha za wateja.
Kwa kifupi mtu wa Customer Care ameshindwa kuniconvince na maelezo yake ya upotevu wa Tshs 20,000 katika mtandao wa VODACOM.
mkuu hata mimi nangojea wakujibu, kwasasa nimeiweka pembeni laini yao maana sasa huu ni upuuzi! wasiporudisha basi nahamia mtandao mwingine mazima uzuri ninazo laini za mitandao yote.vodacom Tanzania naomba kufahamishwa,hii offer ya DAR SUPA UNI Tsh2,500/= per week imesitishwa ktk line yangu au vipi maana siipati!View attachment 1022357
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania