Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

VODACOM sio mtandao mzuri kutumia saiz, WEZI sana kwenye vifurushi. Airtel yatosha.
 

Nini hii?
 

Break line oh yes please again..break burn ashes toilet flashing
 

Huwiiiiiiiiiiiii!! Akikusikia Mzee kifimbo cheza wa uingereza unavyochafua lugha yao!!!
Walahi makalio yako yatawaka moto sasa hv
 
 

ni shiiiidaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Unajua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Vodacom anatokea chama gani pamoja na wakurugenzi wengine wa vodacom. Fuatilia utajua kuwa hicho chama washaanza kutafuta pesa ya "minada ya kisiasa" mwaka kesho!!!
 
People they dont no everyday of god vodacom they say"ze job is urself"foristance wat do they mean?they mean use it on ur own risk.!!finish.

It true my friend from englishland. Voda it say Job to you. you like job you take Voda. you not want go another network. Voda it not care if customer is satisfy or not. kazi ni kwako.
 
Wa mikoani watawasababisha muendelee kuwapa shavu bila kupenda.., unataka kutuma pesa kijijini.., unakuta tigo wala airtel haipo.., mwenyewe utarudi voda bila kupenda.. pole lakini..
 

Watu kama nyinyi ni wa kupiga kabisa!! yaani mpaka leo bado unatumia voda..??! UMEROGWAAA??!!!!
 
Nasikia Ndanda Kosovo anagawa hela sana kipindi hiki ili kujiwekea nafasi nzuri kuwapiku Six. Padlocks na Sumuhiyo kwenye kinyanganyiro cha urais. Cash cow ya Kosovo ni YOU'VE GUESSED RIGHT. VODA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…