muta ngegi
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 167
- 129
Hapo sawa Mkuu, shukrani kwa taarifa.Ni kweli nilizungumza nao siku si nyingi. Wakasema wamesitisha huduma hiyo kwa sasa. Wakanijibu pia pindi wakiirudisha watatoa taarifa kwa umma.
Labda hakusema shida nini mkuu?Hili suala lilikuwepo tangu mwezi wa sita, kabla hata ya kutangazwa kwa TOZO. Binafsi wakati nasajili line ya uwakala, wakala mkuu wa lile eneo alinidokezea jambo hilo.
Ya kwamba ifikapo mwishoni mwa mwezi Juni, wangesitisha zoezi la kusajili mawakala wapya.
Inawezekana labda wanataka kubadili mfumo wa maombi ya uwakala. Ila binafsi naamini hii ishu haina mahusiano na kupanda kwa tozo!Labda hakusema shida nini mkuu?