Vodacom,tigo na airtell nani zaidi........................

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
Nimekuwa nikipata shida kufahamu kampuni gani ya simu ambayo inafanya vyema kwasasa katika Telecommunication Industry kati ya VODACOM,AIRTELL NA TIGO...Naomba mwenye sufficient and reliable data atupatie hapa wanaJF...Natamani kufanya Acedemic research juu ya haya makampuni matatu........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…