Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Sitatumia maneno mengi katika hili. Wanasema picha zinazungumza maneno 1000.
Ya kwanza ni hapo Rwanda tu unapoweza kwenda hata na basi.
Ya pili hapo chini ni huko Marekani, Ulaya na hadi China ambako hata Bombadier hazifiki.
Embu tupeni maelezo.
PS. Kuna mrembo wa kinyarwanda nataka kumcheki ila vifurushi vyenu vinanitisha kidogo. Nahisi nitahitaji kama kilo hivi, hapo salamu tu...
Ya kwanza ni hapo Rwanda tu unapoweza kwenda hata na basi.
Ya pili hapo chini ni huko Marekani, Ulaya na hadi China ambako hata Bombadier hazifiki.
Embu tupeni maelezo.
PS. Kuna mrembo wa kinyarwanda nataka kumcheki ila vifurushi vyenu vinanitisha kidogo. Nahisi nitahitaji kama kilo hivi, hapo salamu tu...