Tumia moja kati ya njia hizi za mawasiliano ni rahisi zaidi kuwasiliana na mtu aliye nje ya nchi.PS. Kuna mrembo wa kinyarwanda nataka kumcheki ila vifurushi vyenu vinanitisha kidogo.
kwa kifupi ukipiga simu njee ya nchi. kule inakofika kuna gharama mtandao wako unalipia kulingana na muda uliotumia kuongea. So Rate ya kupiga njee inategemea vitu vingi but main factor ni termination charges za call kwa mtandao husika ama sometimes nchi husika kama serikali inaregulate hizo charges.Sitatumia maneno mengi katika hili. Wanasema picha zinazungumza maneno 1000.
Ya kwanza ni hapo Rwanda tu unapoweza kwenda hata na basi.
View attachment 865506
Ya pili hapo chini ni huko Marekani, Ulaya na hadi China ambako hata Bombadier hazifiki.
View attachment 865507
Embu tupeni maelezo.
PS. Kuna mrembo wa kinyarwanda nataka kumcheki ila vifurushi vyenu vinanitisha kidogo. Nahisi nitahitaji kama kilo hivi, hapo salamu tu...