Vodacom walivyo chemsha

chash

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
548
Reaction score
230
Mimi nawashangaa vodacom. Waliwahi sana kuanzisha huduma za mpesa na waka-train mawakala nchi nzima kwa gharama kubwa. Sasa ilikuwakuwaje wakaruhusu kampuni zingine za mitandao kutumia mawakala hao hao wa vodacom kuhudumia tigo pesa, airtel na zantel?. Au mimi sielewi agency law? Kwa kweli mimi naona wamechemsha kwa sababu wanapoteza market share yao kwa kasi kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…