Vodacom wasafi beach part

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Habari ya mujini sasa iv ni wasafi beach part so mjichange change washikaji ili siku ikifika bata alike kwa mwendo kasi

 
Litafanyikia wapi , hebu elezea mkulu
 
wale wasanii wa suprise waandae show zao sasa

maana kama kuna timu ujanja ujanja timu ujinga ujinga lazima iwepo ila jangwani ni ndogo sana
 
wale wasanii wa suprise waandae show zao sasa

maana kama kuna timu ujanja ujanja timu ujinga ujinga lazima iwepo ila jangwani ni ndogo sana
Kila nyimbo wakitoa boko hafu wanajiita wanafanya mziki mzuri
 
Pigo la kwanza kwa clouds,kwani madent wengi wameamua kumek hela zao ili wakamuone mond na vijana wake c unajua tena fiesta Zote hazikuwahusu wasafi kiviiile scool bash itaangukia pua tiii.
 
Pigo la kwanza kwa clouds,kwani madent wengi wameamua kumek hela zao ili wakamuone mond na vijana wake c unajua tena fiesta Zote hazikuwahusu wasafi kiviiile scool bash itaangukia pua tiii.
Wakimpata Darassa tu wamemaliza
 
wale wasanii wa suprise waandae show zao sasa

maana kama kuna timu ujanja ujanja timu ujinga ujinga lazima iwepo ila jangwani ni ndogo sana
Povu linakububujika haswaa [emoji23] [emoji23]
 
Pigo la kwanza kwa clouds,kwani madent wengi wameamua kumek hela zao ili wakamuone mond na vijana wake c unajua tena fiesta Zote hazikuwahusu wasafi kiviiile scool bash itaangukia pua tiii.
Weka akiba ya maneno hizi starehe zipo tu
 
Pigo la kwanza kwa clouds,kwani madent wengi wameamua kumek hela zao ili wakamuone mond na vijana wake c unajua tena fiesta Zote hazikuwahusu wasafi kiviiile scool bash itaangukia pua tiii.
Hazikuwahusu kwa vile Fiesta ilidhaminiwa na tiGo, na MOND yupo na VODA.... ni suala la kimikataba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…