Wala hakuna hasara watakaopata kwani baada ya uwekezaji gharama za kuendesha sio za kutisha sana. Katika mataifa mengine, simu kutoka mtandao mmoja ni bure kabisa (zero), kinachokuwepo ni garama ya kukuunganisha tu. Say unalipa kama Tsh 100 kuunganishwa halafu unaongea bure, wakati kwenda kwenye mitandao mingine unalipa gharama ya kuunganisha na kama Tsh 80 kwa dakika. Sasa ukilinganisha mataifa yanayoweza kuchaji viwango vya chini hivyo kuwa garama ya kuwalipa wafanyakazi wao ni kubwa kuliko Tz, kwanini Voda wapate hasara?