waBasila
Senior Member
- Jun 27, 2013
- 168
- 37
Mimi nikati ya mteja wenu wa kudumu na ndivyo nitakavyozidi na siku zote napenda huduma zenu,but takriban ndani ya kipindi cha miezi kama sita mtu unajiunga na cheka ya 1200 au 900 unashangaa unapiga simu moja ndani ya dakika 4 imekata na cheka ushakatwa. NMB mobile unaingia hujafika mwisho inakata na fedha umekatwa,waweza ingia hadi mala 5 ili ufanikishe haja yako,na usifanikiwe kufika mwisho lakini kila unapoingia unakatwa.hii haiendelezi sifa yenu
njema.sijui kama yananikuta mimi tu au wateja wa mkoa wa Arusha tu. yawezekana ni matatizo ya kiufundi sawa lakini jaribuni kupunguza kama ilivyokua mwanzo.nawatakia ufanisi zaidi, kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na ufanisi katika kutoa huduma.
njema.sijui kama yananikuta mimi tu au wateja wa mkoa wa Arusha tu. yawezekana ni matatizo ya kiufundi sawa lakini jaribuni kupunguza kama ilivyokua mwanzo.nawatakia ufanisi zaidi, kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na ufanisi katika kutoa huduma.