Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Naona wamejitoa Miss Tanzania sasa mashindano yatadhaminiwa na kampuni ya pombe
huu ni ushindi kwa nani?
huu ni ushindi kwa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajafulia kulikuwa kuna ujanja janja unafanyika kati ya maafisa wa vodacom na lino agency sasa huyu md mpya kashtuka anasema hataki sponsorship za ajabu ajabu kaanza na miss tanzania wengine wanafuata
mjini hapaDu hatari kumbe,nilijua wizi ni sirikalin kumbe hata huko kuna mafisadi? Khaaa!
V.O.D.-Very Old News