Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
hawajafulia kulikuwa kuna ujanja janja unafanyika kati ya maafisa wa vodacom na lino agency sasa huyu md mpya kashtuka anasema hataki sponsorship za ajabu ajabu kaanza na miss tanzania wengine wanafuata
mjini hapaDu hatari kumbe,nilijua wizi ni sirikalin kumbe hata huko kuna mafisadi? Khaaa!
V.O.D.-Very Old News