Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
====
Septemba 28, 2024Mpendwa Mteja, Tunaomba radhi kwa changamoto za mtandao kwa sasa inayosababisha wateja wengi kushindwa kupata huduma. Timu yetu ya wahandisi inajitahidi kusuluhisha kwa haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashukuru kwa uvumilivu wako. Taarifa zaidi zitafuata hivi karibuni.
Usimamizi Vodacom
Tanzania
Pia soma: Mtandao wa VodaCom ukoje huko kwenu?
====
TAARIFA KWA UMMA
Septemba 28, 2024Mpendwa Mteja, Tunaomba radhi kwa changamoto za mtandao kwa sasa inayosababisha wateja wengi kushindwa kupata huduma. Timu yetu ya wahandisi inajitahidi kusuluhisha kwa haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashukuru kwa uvumilivu wako. Taarifa zaidi zitafuata hivi karibuni.
Usimamizi Vodacom
Tanzania
Pia soma: Mtandao wa VodaCom ukoje huko kwenu?