Vodocom ni kampuni legelege kuliko Tigo

Vodocom ni kampuni legelege kuliko Tigo

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi companies 2

Leo ukitaka kuswapu line ya Mpesa itakuchukua takribani miezi 3 au 4 ila tigo siku hiyo hiyo ili mredi wamethibitisha pasipo shaka wewe ndio mmiliki wa line husika iliyopotea.

Vodacom inapendwa na wazeee ila Tigo inapendwa na new generation.

Vodacom imeenetu nchini kwasababu ndio company ya kwanza kuingia nchi,ndio maana wateja wake wengi ni wale wazee wa zamani ila kwa new generation hawananafasi.

Vodacom Gharama za internet zipo juu kulimo Tigo. Customers care ya tigo ni nzuri kuliko vodacom.

Gharama za miamala kwenye tigo wanakata kidogo kuliko vodacom. Vodacom ni bora kwenye internet tu,huduma ambaya ni kama anasa kwa tabaka lingine. Tuangalie hizi huduma zinazogusa wa wengi na wachini kabisa.

Karibu kwa maoni
 
Huduma ya internet inatumika na watu wachache sana,ambayo kwa watu wengine ni kama anasa..tuangalie huduma za muhimu zinagusa watu wengi na wachini kama hizo tajwa hapo juu zimekaaje?

Hakuna mtandao wa kufananisha na Voda mkuu, utaenda utarudi Voda wako juu ki-ujumla

Makosa ya hapa na pale yapo, maana siyo malaika hao
 
Hakuna mtandao wa kufananisha na Voda mkuu, utaenda utarudi Voda wako juu ki-ujumla

Makosa ya hapa na pale yapo, maana siyo malaika hao
Bila shala wewe unamaslahi na vodacom,kwasababu kwa mapungufu waliyonayo hupaswi kuzungumza hivyo.

Vodocaom inafanya kazi kama umetuma maombi ya kufanya kazi halmashauri.
 
Hapo vip!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi companies 2

Leo ukitaka kuswapu line ya Mpesa itakuchukua takribani miezi 3 au 4 ila tigo siku hiyo hiyo ili mredi wamethibitisha pasipo shaka wewe ndio mmiliki wa line husika iliyopotea.

Vodacom inapendwa na wazeee ila tigo inapendwa na new generation.

Vodacom imeenetu nchini kwasababu ndio company ya kwanza kuingia nchi,ndio maana wateja wake wengi ni wale wazee wa zamani ila kwa new generation hawananafasi.

Vodacom Gharama za internet zipo juu kulimo Tigo. Customers care ya tigo ni nzuri kuliko vodacom.

Gharama za miamala kwenye tigo wanakata kidogo kuliko vodacom. Vodacom ni bora kwenye internet tu,huduma ambaya ni kama anasa kwa tabaka lingine. Tuangalie hizi huduma zinazogusa wa wengi na wachini kabisa.

Karibu kwa maoni
Vodacom si longo longo kama hao wapuuzi wengine
 
Hakuna mtandao wa kufananisha na Voda mkuu, utaenda utarudi Voda wako juu ki-ujumla

Makosa ya hapa na pale yapo, maana siyo malaika hao
Mi huwa nashangaa sana kwa tz mtu kuulalamikia mtandao fulani, si uhamie kwingine, tz ukiwa mjini hakuna mtandao utatumia utakufanya uumis mtandao mwingine, wote walewale tu
 
Hapo vip!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi companies 2

Leo ukitaka kuswapu line ya Mpesa itakuchukua takribani miezi 3 au 4 ila tigo siku hiyo hiyo ili mredi wamethibitisha pasipo shaka wewe ndio mmiliki wa line husika iliyopotea.

Vodacom inapendwa na wazeee ila tigo inapendwa na new generation.

Vodacom imeenetu nchini kwasababu ndio company ya kwanza kuingia nchi,ndio maana wateja wake wengi ni wale wazee wa zamani ila kwa new generation hawananafasi.

Vodacom Gharama za internet zipo juu kulimo Tigo. Customers care ya tigo ni nzuri kuliko vodacom.

Gharama za miamala kwenye tigo wanakata kidogo kuliko vodacom. Vodacom ni bora kwenye internet tu,huduma ambaya ni kama anasa kwa tabaka lingine. Tuangalie hizi huduma zinazogusa wa wengi na wachini kabisa.

Karibu kwa maoni
Tigo ndio kampuni ya kwanza ya simu za mkononi kuingia Tz ikiitwa Mobitel < Buzz ndio ikawa Tigo ila vodacom is still the best
 
Hapo vip!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi companies 2

Leo ukitaka kuswapu line ya Mpesa itakuchukua takribani miezi 3 au 4 ila tigo siku hiyo hiyo ili mredi wamethibitisha pasipo shaka wewe ndio mmiliki wa line husika iliyopotea.

Vodacom inapendwa na wazeee ila tigo inapendwa na new generation.

Vodacom imeenetu nchini kwasababu ndio company ya kwanza kuingia nchi,ndio maana wateja wake wengi ni wale wazee wa zamani ila kwa new generation hawananafasi.

Vodacom Gharama za internet zipo juu kulimo Tigo. Customers care ya tigo ni nzuri kuliko vodacom.

Gharama za miamala kwenye tigo wanakata kidogo kuliko vodacom. Vodacom ni bora kwenye internet tu,huduma ambaya ni kama anasa kwa tabaka lingine. Tuangalie hizi huduma zinazogusa wa wengi na wachini kabisa.

Karibu kwa maoni
Tigo ndio kampuni ya kwanza ikiitwa Mobitel ikiwa ni analog, ikaja Tritel ndio GSM ya kwanza, kisha ikaja Voda.
Tigo imepitia majina kadhaa ikiwa ni pamoja na Buzz
 
Hapo vip!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi companies 2

Leo ukitaka kuswapu line ya Mpesa itakuchukua takribani miezi 3 au 4 ila tigo siku hiyo hiyo ili mredi wamethibitisha pasipo shaka wewe ndio mmiliki wa line husika iliyopotea.

Vodacom inapendwa na wazeee ila tigo inapendwa na new generation.

Vodacom imeenetu nchini kwasababu ndio company ya kwanza kuingia nchi,ndio maana wateja wake wengi ni wale wazee wa zamani ila kwa new generation hawananafasi.

Vodacom Gharama za internet zipo juu kulimo Tigo. Customers care ya tigo ni nzuri kuliko vodacom.

Gharama za miamala kwenye tigo wanakata kidogo kuliko vodacom. Vodacom ni bora kwenye internet tu,huduma ambaya ni kama anasa kwa tabaka lingine. Tuangalie hizi huduma zinazogusa wa wengi na wachini kabisa.

Karibu kwa maoni
Vodacom inapendwa na wazeee ila tigo inapendwa na new generation.

🤔🤔🤔 na halotel je inapendwa na nani
 
Lipa kwa simu kwa kwenda mitandao mingine

kiwango 10,000

Voda-Tigo haizidi 300
Tigo-voda zaidi ya 1500

Halafu uniambie tigo ina unafuu! Acha kufananisha voda na vitu vingine.
 
Back
Top Bottom