Volkswagen golf

Kamongo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2009
Posts
2,190
Reaction score
2,485
Nimatumain yangu wote wazima, mimi niko intreresetd sana kununua Volkswagen golf ya mwaka 2000, cc 1600 au cc1800, kwa sababu naona magari aina ya Toyota bei iko juu, je spea zake hapa tanzania zinapatikana pili mafundi wakutengeneza hizi gari wapo hapa kwetu tanzania pia kati ya VW ya cc 1600 na 1800 ipi nzuri

nawasilisha
 

jamani naombeni msaada kwawanaojua hizi gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…