dandoz
New Member
- Oct 15, 2016
- 4
- 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tu vote huyu ni mtanzania mwenzetu,hakuna u team hapa.Ovayeye ni mkubwa kuliko tunzo asante kwakunipa link ngoja ni vote kwa wiz kid tu
Mkuu umeongea point kwa uchungu sanaNimesha vote, hata akikosa nitaendelea kumkubali KIBA muziki wake hauchoshi unaishi siku hadi siku, Mond ana mziki wa kulipuka na kutokomea kama volkano kitu ambacho sikipendi kwa hiyo mimi kiba ndio zaidi apate tuzo asipate tuzo poa tu, Kwani OTTU jazz na maquize walivyokuwa wanapiga kulikuwa na tuzo za ulaya?! mbona maisha yalisonga tu.
Sasa habari za kumpigia Ali Kiba, Diamond anaingia vipi? Kwanini usimlinganishe Kiba na wapinzani wake kwenye hilo group?!Nimesha vote, hata akikosa nitaendelea kumkubali KIBA muziki wake hauchoshi unaishi siku hadi siku, Mond ana mziki wa kulipuka na kutokomea kama volkano kitu ambacho sikipendi kwa hiyo mimi kiba ndio zaidi apate tuzo asipate tuzo poa tu, Kwani OTTU jazz na maquize walivyokuwa wanapiga kulikuwa na tuzo za ulaya?! mbona maisha yalisonga tu.
Hamna point bali kaongea ujinga! Mleta Mada kaja kuomba kura kwa ajili ya Ali Kiba!! Wanakuja wengine wanaleta habari za Ali Kiba na Diamond! Kulikuwa na sababu gani za uzi wa kumwombea kura Kiba mtu anaanza kuleta habari za Diamond?! Kwanini asimlinganishe Kiba na wengine aliokuwa kwenye kundi lake?Mkuu umeongea point kwa uchungu sana
Diamond kawa maji kwa team kiba.Sasa habari za kumpigia Ali Kiba, Diamond anaingia vipi? Kwanini usimlinganishe Kiba na wapinzani wake kwenye hilo group?!
Yaani wanatia huruma hawa jamaa... halafu wanavyohangaika kumpambanisha Kiba na Diamond! Wanasahau kwamba wenye akili zao wanatumia statistics and figures! Ukimweka Kiba na Diamond kwenye statistics and figures ni kama kupambanisha mlima na kichuguu! Wanasahau hata huko mbele watu wanaangalia "ana album ngapi (statistics & figures); ameuza nakala ngapi (statistics & figures), ana endorsements ngapi (statistics & figures), anamiliki nini (statistics & figures)!!! Kinyume chake, wanataka ku-rate kwa kutumia emotions... eti huyu ana sauti mzuri, yule na huyu anajua kuimba... what' the hell is that! Haya yote yanategemeana na taste ya mtu!Diamond kawa maji kwa team kiba.
Wasipokunywa wataoga
Sijui kama wcb hawajahonga na kumhujumu jamaa!!!!
Acha majungu ww...Alikiba akishindwa basi sio muanze kuleta majungu kuwa team wcb imehusika.Sijui kama wcb hawajahonga na kumhujumu jamaa
Chief ndio malalamiko ya timu ya kijana Ali kiba,Acha majungu ww...Alikiba akishindwa basi sio muanze kuleta majungu kuwa team wcb imehusika.