Vp kuhusu nafac za masomo vyuo vya mifugo

the horticulturist

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
1,959
Reaction score
1,907
Ndg zangu mtandaon nahtaj kwenda kusomea udaktar wa mifugo kwenye vyuo vya serikali ngazi ya diploma,vp jnc ya kutuma maombi maana mtandaon kwenye wizara ya mifugo cjaona nafac zikitangazwa ilhali wizara ya afya wao washatoa au mifugo huwa wanachelewa kutoa!?
Kama huwa hwatoi mtandaon naomben msaada naomba hizo nafac
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…