sawa naona mawazo ni mazuri ,serikali iangalie sana mahitaji wa waalimu kwa jumla pia wakuu wa shule wawajibike katika kusimamia waalimu wao.Jambo jingine ni nidhamu ya wanafunzi,bila nidhamu hakuna elimu.Pia serikali itoe muongozo wa vitabu maalumu kuwa ndio rejea za somo lakini ikiwa kila shule itakuwa na vitabu vyake uwezekano wa kufeli upo palepale.
Jamani hiyo ni Tanzania,Tanzania ipo vijijini sio mijini.