Vp utaratibu wa vyuo mwaka huu

Vp utaratibu wa vyuo mwaka huu

the horticulturist

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
1,959
Reaction score
1,907
Kulikua na tetec za form six kwenda jeshini,vp walienda?
Kama walienda utaratibu wa kujiunga na vyuo ukoje maana cc wengine tulimaliza toka 2008.
 
I got u ila c lazma wao walioenda watakua na advantage flan au nn maana ya kwenda wachache
 
uko n kwata 2 2cchazane upepo/advantage labda ukakamavu watakuzd eroo
 
Enyi vijana kwani mmeandika lugha gani hii. Au nimekuwa zuzu ghafla. Hizi lugha za uchochoroni zinatuweka njia panda. Sijaelewa kitu.
 
Enyi vijana kwani mmeandika lugha gani hii. Au nimekuwa zuzu ghafla. Hizi lugha za uchochoroni zinatuweka njia panda. Sijaelewa kitu.

Ndugu yangu vijana wa dot.com hao. Niliona hadi barua ya kuomba kazi ina lugha kama hizo!
 
Vp utaratibu wa nafasi za vyuo vya mifugo naona mpaka leo website ya wizara husika haina jipya,naomba mnisaidie jinsi ya kuomba nataka pia niombe diploma ya dr wa mifugo pls
 
Enyi vijana kwani mmeandika lugha gani hii. Au nimekuwa zuzu ghafla. Hizi lugha za uchochoroni zinatuweka njia panda. Sijaelewa kitu.
Mbona lugha ya kawaida tu ndugu,unajua ukizoea kuchart sana kwa sms kuna kuwa na vifupisho vya kutumia sasa ndio shida sisi wa vifurushi unapata bundle na sms 100 kazi ndio hiyo hapa yenyewe kwenye kujibu hii yako imenipotezea time kuliko ningetumia short forms ambazo unasema kidogo zinakupiga chenga mkuu
 
Tcu application zilianza tangu 15 march 2013 kwa waliomaliza form 6 1988-2012 na mwisho ni tarehe 30 april.
 
Ndg zangunu hv na utaratibu wa nyuo vya wizara ya mifugi vnavyotoa diploma na hukoje kwa mwaka huu maana website ya wizara husika haina jipya kabisa
 
Back
Top Bottom