VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

goti bovu...anauguza
Hivi wewe Watu8 unashabikia timu gani ?, nakuonaga upo upande wa mikia fc sasa nashangaa unavyojua habari za ndani za Dar Young African
 
Wadau mliopo uwanjani na mbele za luninga zenu, updates za mechi niaje?
 
Wadau mliopo uwanjani na mbele za luninga zenu, updates za mechi niaje?
Mechi zinaanza saa 10, mwenyewe nipo hapa job nataka niombe ruhusa kwa bosi ili niende uwanjani, nikifanikiwa nitawaletea live updates kutoka National Stadium
 
Mkuu, Watu8 hajawahi kuwa mikia fc mtake radhi kwani ni mwana jangwani halisia.
Ndiyo nataka ani PM anipe namba yake nimtumie m-pesa au tigo pesa kama kumtaka radhi. Watu8 huko uliko nitumie namba yako please au kama vp twende wote uwanjani nitakulipia kiingilio na bia nitakununulia pale nje kabla ya kuingia uwanjani na baada ya kutoka pia
 
Hakika yanga tunapata point 3 muhimu leo taifa,Daima mbele nyuma mwiko....





Je hawa ramba ramba wapo mbeya au chamazi leo????
 
Hahaha asante mkuu huitaji kufanya hayo yote...

Tutajumuika hapa hapa kwa leo maana nipo mbali na jiji la Dar kwa leo...

 
Lakini mkumbuke Bin sulum karudi rasmi coastal kuokoa jahazi na hii ndo mechi yake ya kwanza.
 
Friends of Coastal tunaitakia timu yetu ushindi dhidi ya Yeboyebo
 
Hivi wewe Watu8 unashabikia timu gani ?, nakuonaga upo upande wa mikia fc sasa nashangaa unavyojua habari za ndani za Dar Young African
Watu8 = Young Africans Sports Club a.k.a. Timu ya Wananchi, usimfananishe na mikia kabisa, atatapika fasta akiendelea kusoma maneno hayo!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…