VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

hayo ni mazoezi kama mechi..
anae tafutwa hapo ni yule alie wadhurum mikia FC

Hayo majambazi kutoka tunisia yatakuwa yametuma mwakilishi aje achunguze mechi za yanga, sijui atakuwa ana report vp mechi ya leo
 
Toka lini ukaumia kwa mke uliye muacha, Simba hatukumuacha Tambwe ili huko kwingine asiende kufunga hapana tulimuacha akaboreshe kiwango chake.

Aisee...umenifurahsha! basi TAMBWE ana bahati, kaenda kuboresha kiwango chake kwny timu inayoshiriki kwny michuano ya kimataifa...ajabu ni kuwa waliomuona kiwango kidogo ni "wa hapa hapa"!
 
hakika mkuu hiv ni tarehe ngapi huyo mzurumati anakuja kunyooshwa

Kama sikosei ni tarehe 18 mwezi huu, Mikia fc wametoa ahadi kuwa watatushangilia maana yana visa na wale jamaa
 
Hayo majambazi kutoka tunisia yatakuwa yametuma mwakilishi aje achunguze mechi za yanga, sijui atakuwa ana report vp mechi ya leo

ataripoti jaman hawa jamaa wana hasira na hasa ukizingatia tumewazurum watani wao wa jadi sasa wametumwa walipe kisasi cha magoli mengi.
 
hii sasa sifa yaani tayari, TAMBWE bhana ataua watu kwa presha kuleeeee..
 
hivi kavumbagu anacheza leo kwa upande wa azam? maana naona mwenzake anazidi kupeta tu kwenye mbio Za kiatu cha dhahabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…