Vpl imeendelea leo katika viwanja vitatu, katika hali isiyo tarajiwa wale walio toboa tundu wamejikuta wakiangukia pua kwa wanna kamwene na hivyo kuleta ahueni pale msimbazi.
Tuliteleza lakini hatukuanguka... Vp nyie huko na homa yenu ya manjano hamjamuambukiza mwarabu kweli
Hongereni kwa kuteleza kwa zaidi ya dk 50
Mwadui kama man utd tu, unaifunga chelsea unafungwa na Bournemouth.
Tatizo kila timu inakamia kw simba tu, hata yanga wanaikamia simba.Vpl imeendelea leo katika viwanja vitatu, katika hali isiyo tarajiwa wale walio toboa tundu wamejikuta wakiangukia pua kwa wanna kamwene na hivyo kuleta ahueni pale msimbazi.
Tatizo kila timu inakamia kw simba tu, hata yanga wanaikamia simba.
Mwarabu lazima ampakate Zahera!Tuliteleza lakini hatukuanguka... Vp nyie huko na homa yenu ya manjano hamjamuambukiza mwarabu kweli
Nauza Yanga mbovu na dola chakavuMwarabu lazima ampakate Zahera!
Tatizo kila timu inakamia kw simba tu, hata yanga wanaikamia simba.
Tatizo kila timu inakamia kw simba tu, hata yanga wanaikamia simba.
Ukapimwe mkopo..Kwa kutumia vipimo vya kwaida ambayo havihitaji umiliki wa shahada ya chuo kikuu, u ovu watimu unapimwa na matokeo zidi ya mpinzani wake. Msimu uliopita simba alipigwa na timu iliyo karbia kushuka faraja mechi zote, msimu huu tundu limetobolewa na timu iyocheza play off. Simba inanebwa na media za kibongo kiuhalisia haina ubora huo. Lakini marefa wetu ni changamoto nyingine na kwa hili si simba pekee.
Pia siku hizi kuna wachambuzi uchwara wengi sana.
Huna akili mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Nauza Yanga mbovu na dola chakavu
Ukapimwe mkopo..
Hujakosea jomba ndugu yao azamLipuli ni simba B
Mikia hamna kitu pale bila tigo pesa,ile juzi kule shy walijaribu kucheza bila tigo pesaKwa kutumia vipimo vya kwaida ambayo havihitaji umiliki wa shahada ya chuo kikuu, u ovu watimu unapimwa na matokeo zidi ya mpinzani wake. Msimu uliopita simba alipigwa na timu iliyo karbia kushuka faraja mechi zote, msimu huu tundu limetobolewa na timu iyocheza play off. Simba inanebwa na media za kibongo kiuhalisia haina ubora huo. Lakini marefa wetu ni changamoto nyingine na kwa hili si simba pekee.
Pia siku hizi kuna wachambuzi uchwara wengi sana.