VPL: Simba SC Vs Azam FC

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
wadau karibuni uwanja wa taifa kuona mechi kali tangu mwaka 2015 uingie vijana wa unyamani simba sc watakipiga na kinara wa ligi kuu Azam fc wana lambalamba, vijana wa simba chuo cha soka Tanzania wameahidi kutoa dozi kulingana na hali ya mgonjwa kwa kupiga mpira mwingi ili kupata points 3 muhimu, simba itakuw inawategea vijana waliokwiva kama nahodha isihaka hassani, jonas mkude, saidi ndemla, ramandani singano, okwi(mtoa roho), saimon serenkuma, uku Azam fc ikiwategemea kipre tchetche, domayo, kavumbagu, bocco na brian majegwa.
Karibuni wadau wote mtapata update hapahapa jf.
Mechi itaanza saa kumi kamili jioni
Team today
1. MWADINI ALI
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. MUDATHIR YAHYA
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE TCHETCHE
11. HIMIDI MAO
AKIBA
1. KHALID MAHADHI
2. SAID MORAD
3. GADIEL MICHAEL
4. KELVIN FRIDAY
5. KHAMISI MCHA
6. AMRI KIEMBA
7. JOHN BOCCO

=============
=============

Matokeo ya Mwisho

Simba 1 - 1 Azam
 
Azam naichukia, Simba nayo siipendi. Sijui leo niwe upande upi! Azam akishinda bado hana madhara kwetu. Simba naye hata akishinda bado si lolote na si chochote.

Leo niko neutral, matokeo yoyote na yaje tu. Mwenyezi Mungu aitendee haki kila timu kwa kuvuna ilichopanda.
 

unataka droo wewe kuwa mkweli mkuu
 

Leo lazima uone wanaume wanavojua mpira
 

Magoli yako kwenye benchi!
 

Leo mtani njoo kwetu tu, maana hata huku Azam tunaichukia balaa (siongelei wana-Simba wote)!!
Niwe mkweli, mi binafsi, yanga ikicheza na Azam, huwa najikuta nataka Azam ifungwe!! Sipendi kutaka Yanga ishinde, ila roho yangu inakuaga hivyo!
 

Azam hana madhara kwenu wakati anaitafuta pointi ya 23 wakti nyinyi mna 18?
Ama kweli mtu aliyekata tamaa utamjua tu.
 
Mimi mara 100 afadhali washinde wauza lambalamba kuliko hawa wazee wa kulawitiana, yaani siwapendi hawa watu!!!
Azam fc 3-0 Mikia fc.
 
mimi ni mshabiki wa mnyama. ila leo ningependa AZAM washinde ili wasogee mbele na kuipa YANGA wakati mgumu zaidi kipoint. Simba tumejitoa kwenye kombe hili maana halina faida sana kama la nani mtani Jembe.lile lina pesa nying zaidi kuliko hata VPL. so leo hata AZAM Wakishinda sitajisikia vibaya sana kwa kuwa YANGA hawatakuwa na amani. na mimi ninachotaka ni YANGA kutokuwa na furaha maisha yao yote. TEAM YA WASHIRIKINA KAMA YANGA ilipaswa ifungiwe lakini naona TFF inawatizama tu.
 

Watoke sare ya bila kufungana. Maana akishinda mnyama, kelele zitakuwa nyingi mtaani. Akishinda lambalamba atazidi kutuacha.
 

Hivi Yanga iliwahi kuwa na mwenyekiti anaitwa Bamchawi vile?
 
Baba yetu uliye mbinguni nakuomba uwajalie azam ushindi katika mechi hii dhidi simba, ili mtumishi wako niwe na amani siku ya leo.... AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…