VPL: Simba VS Majimaji FC, Simba yairarua Majimaji bao 4-0 uwanja wa Taifa

Viongozi was majimaji ndio haohao wako kamati ya Utendaji ya Simba itachukua muda sana Simba kufungwa na majimaji.
 
Lucas, kwake Alex Kondo lakini wanapoteza mpira
 
Kuna mchezaji wa Water water anaitwa Kennedy Kipepe, huyu Mtangazaji namsikia kama anatamka Komredi Kipepe.
 
82' Kichuyaa anakwenda kwenye benchi na nafasi yake anachukua Laudit Mavugo
 
85 ' Simba SC 4-0 Majimaji FC
 
Majimaji wanakwendaaa anapiga gooo laaaa inapiga nyavu ndogo
 
Mavugoooo konaaaaa. Inapigwa konaaaaa mpira unaambaa na kutoka nje
 
90' Simba SC 4-0 Majimaji FC
 
Wakati wowote mpira utakuwa umekwisha hapa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

90+4' Naam mpira umekwisha ambapo Simba SC imeibuka na ushindi wa goli nne bila majibu dhidi ya Majimaji FC kutoka mkoani Songea hivyo kujikita kileleni mwa msimamo wa VPL kwa jumla pointi 35. Mabao ya Okwi 2 na Bocco 2

Ghazwat Asanteni sana
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…