VPL: Super Saturday 17/10/2015

Juuko Murshid ndiye K aliyewafunga Mbeya city. Juma kaseja inasemekana kafanya makusudi sharubu apate goli la mapema.
 
Juma kaseja kapangua krosi straight kwa juuko murshid, njama hizi. Kacheki kaona murshid yuko peke yake pembeni ya mwamba na kupangua direct na jamaa kafunga kiulaini
 
Umesema hao wachezaji ni watu wa Tigopesa hayumkini ndio maana hata mjiite wakimataifa au wakipemba raundi yenu ya mwisho ni ya pili. Nini sababu mnatumia sana tigopesa kwa wachezaji wa timu pinzani ooh poor you!
Sharubu akishinda atakuwa kahonga tuu. Na leo shost yake tushamfanya kinyago cha ngoma ya Kigodoro
 
Umesema hao wachezaji ni watu wa Tigopesa hayumkini ndio maana hata mjiite wakimataifa au wakipemba raundi yenu ya mwisho ni ya pili. Nini sababu mnatumia sana tigopesa kwa wachezaji wa timu pinzani ooh poor you!

Kapitie faili za TFF huyo ambaye wewe unamuona wa kimataifa na ndiye unamuona haishii round ya pili NDIYE pekee aliyelipa Faini kwa kuhonga na Uchawi michezoni.
 
Barthez amekuwa kikwazo cha Azam leo...
 
Juma kaseja kapangua krosi straight kwa juuko murshid, njama hizi. Kacheki kaona murshid yuko peke yake pembeni ya mwamba na kupangua direct na jamaa kafunga kiulaini

Huu ushabiki huu, kwa hiyo Kaseja alitoa pasi kwa mfungaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…