Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ligi Kuu ya soka Vodacom (VPL) Mji wa Mbeya leo utasimama kwa dakika 90, kupisha mtanange kati ya Tanzania Prisons 'Wajelajela' na Simba Sports Club 'Wekundu wa Msimbazi'.
Je nani kuondoka na pointi 3 muhimu leo? Basi usikose ukaambiwa, kuwa nasi hapa.
Kumbuka mechi hii itakuwa mubashara kupitia Azam Sports 2 na kwa upande wa radio TBC Taifa itapeperusha matangazo ya mbungi hii kuanzia saa 10. 00 jioni.
Vikosi kwa upande zote tukianza na wenyeji wa mchezo huu, Tanzania Prisons;
Aron Kalambo, Michael Ismail, Laurian Mpalile, Nurdin Chona, James Mwasote, Jumanne Elfadhili, Salum Kimenya, Kassim Hamisi, Eliuter Mpepo, Mohamed Rashid, Lambart Sabiyanka.
SUB;
Hassan Msham, Hamisi Maingo, Salum Bosco, Freddy Chudu, Kazungu Mashauri, Leonsi Mutalemwa, Vedastus Mwihambi.
Na upande wageni Simba Sports Club
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Mohamed Hussein, James Kotei, Yusuph Mlipili, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Mzamiru Yassir, John Bocco, Mwinyi Kazimoto, Haruna Niyonzima.
SUB;
Emmanuel Mseja, Ally Shomari, Nicholas Gyan, Laudit Mavugo, Juma Luizio, Mohamed Ibrahim MO, Jamali Mnyate.
==>Vikosi vya timu zote mbili vinawasili katika uwanja wa Kumbukumbu Sokoine mjini Mbeya.
==> Wakati wowote mpira utaanza hapa uwanja wa Sokoine.
0' Naam mpira umeanza Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
7' Goo laaaa Mohamed Rashid upande wa Tanzania Prisons anakosa goal la wazi hapa, mpira umeanza kwa kasi hapa
15' Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
30 ' Bado milango ni migumu hapa, Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
==> 45' Mpira ni mapumziko hapa uwanja wa Sokoine ambapo mpaka sasa hakuna timu imepata bao. Tanzania Prisons 0 - 0 Simba Sports Club
1' Mpira umeanza kipindi cha pili hakuna mabadiliko kwa wachezaji pande zote mbili.
75 ' Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
84' Goooooooooaal John Bocco anageuka na ndani ya D na kuachia shuti kali na kuiandikia Simba goli la Kwanza. Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC
90 ' Tanzania Prisons 0 - 1 Simba Sports Club
93' Mpira umekwisha hapa uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya, ambapo matokeo ni kwamba Simba Sports Club imeibuka mshindi wa goli moja likifungwa na Mshambuliaji John Bocco 84' ambaye alikuwa Captain siku ya leo dhidi ya Tanzania Prisons ambayo haikupata goli.
Je nani kuondoka na pointi 3 muhimu leo? Basi usikose ukaambiwa, kuwa nasi hapa.
Kumbuka mechi hii itakuwa mubashara kupitia Azam Sports 2 na kwa upande wa radio TBC Taifa itapeperusha matangazo ya mbungi hii kuanzia saa 10. 00 jioni.
Vikosi kwa upande zote tukianza na wenyeji wa mchezo huu, Tanzania Prisons;
Aron Kalambo, Michael Ismail, Laurian Mpalile, Nurdin Chona, James Mwasote, Jumanne Elfadhili, Salum Kimenya, Kassim Hamisi, Eliuter Mpepo, Mohamed Rashid, Lambart Sabiyanka.
SUB;
Hassan Msham, Hamisi Maingo, Salum Bosco, Freddy Chudu, Kazungu Mashauri, Leonsi Mutalemwa, Vedastus Mwihambi.
Na upande wageni Simba Sports Club
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Mohamed Hussein, James Kotei, Yusuph Mlipili, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Mzamiru Yassir, John Bocco, Mwinyi Kazimoto, Haruna Niyonzima.
SUB;
Emmanuel Mseja, Ally Shomari, Nicholas Gyan, Laudit Mavugo, Juma Luizio, Mohamed Ibrahim MO, Jamali Mnyate.
==>Vikosi vya timu zote mbili vinawasili katika uwanja wa Kumbukumbu Sokoine mjini Mbeya.
==> Wakati wowote mpira utaanza hapa uwanja wa Sokoine.
0' Naam mpira umeanza Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
7' Goo laaaa Mohamed Rashid upande wa Tanzania Prisons anakosa goal la wazi hapa, mpira umeanza kwa kasi hapa
15' Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
30 ' Bado milango ni migumu hapa, Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
==> 45' Mpira ni mapumziko hapa uwanja wa Sokoine ambapo mpaka sasa hakuna timu imepata bao. Tanzania Prisons 0 - 0 Simba Sports Club
1' Mpira umeanza kipindi cha pili hakuna mabadiliko kwa wachezaji pande zote mbili.
75 ' Tanzania Prisons 0 - 0 Simba SC
84' Goooooooooaal John Bocco anageuka na ndani ya D na kuachia shuti kali na kuiandikia Simba goli la Kwanza. Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC
90 ' Tanzania Prisons 0 - 1 Simba Sports Club
93' Mpira umekwisha hapa uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya, ambapo matokeo ni kwamba Simba Sports Club imeibuka mshindi wa goli moja likifungwa na Mshambuliaji John Bocco 84' ambaye alikuwa Captain siku ya leo dhidi ya Tanzania Prisons ambayo haikupata goli.