VPL tarehe 19/11/2017 Yanga yaichabanga Mbeya City magoli 5-0

OSOKONI

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
10,965
Reaction score
5,339
Mlioko uwanjani au karibu na media tupia matokeo hapa

======================

Timu ya soka ya Yanga leo imefanikiwa kuifunga timu ya soka ya Mbeya City magoli matano kwa bila katika mchezo wa ligi VPL uliofanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.

Magoli ya Yanga katika mchezo huo yalifungwa na mshambuliaji wao wa kimataifa kutoka Zambia Obrey Chirwa magoli 3 na Emanuel Martin magoli 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…