Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Wakuu mambo ni nini?
Hivi inakuaje bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na mtandao namba moja wa simu TZ yaani Vodacom apate Tsh 80m wakati mshindi wa Ndondo Cup yeye anavuta Tsh 20m?
Hizi sio dharau?.
It's high time kwa mdhamini mkuu wa ligi kumwaga pesa kidogo,au kama vipi tumwachie Azam kila kitu.
Hivi inakuaje bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na mtandao namba moja wa simu TZ yaani Vodacom apate Tsh 80m wakati mshindi wa Ndondo Cup yeye anavuta Tsh 20m?
Hizi sio dharau?.
It's high time kwa mdhamini mkuu wa ligi kumwaga pesa kidogo,au kama vipi tumwachie Azam kila kitu.