Wakuu mambo ni nini?
Hivi inakuaje bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na mtandao namba moja wa simu TZ yaani Vodacom apate Tsh 80m wakati mshindi wa Ndondo Cup yeye abavuta Tsh 20m?
Hizi sio dharau?.
It's high time kwa mdhamini mkuu wa ligi kumwaga pesa kidogo,au kama vipi tumwachie Azam kila kitu.
Sio 80m tu, Vodacom anagharamia pia safari za team.Sasa why bingwa anapewa 80m na mdhamini mkuu wa ligi?
So mkuu roughly tunaweza kusema udhamini wa Voda ni wa thamani gani kwa mwaka?.Sio 80m tu, Vodacom anagharamia pia safari za team.
Ulikuwa ni wa bilioni 3 kwa mwaka sema hela ya mwaka wa mwisho wameshindwa kutoaSo mkuu roughly tunaweza kusema udhamini wa Voda ni wa thamani gani kwa mwaka?.
Na usafiri hizi timu nyingi mbona huwa zinaunga unga tu na mabasi ? Ukiacha kina Simba,Yanga na Azam