VPN baba lao

Nipo Canada Jimbo la Quebec.vipi matokeo huko.
Nasikia mpaka Pemba watu wamekulaaa?[emoji16][emoji16].oneni aibu jamani
 
Watz wamekubaliana na utawala wa kiimla
 
Yaani huyo baba sio Msukuma nakuapia kuna DNA za akina Dandaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…