Vurugu mechi ya Simba ni hujuma ya kukwamisha AFCON Tanzania

Vurugu mechi ya Simba ni hujuma ya kukwamisha AFCON Tanzania

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Maoni haya ni alert kwa vyombo vyetu vya usalama na diplomasia.

Hakuna cha maana kinachoweza kuelezea vurugu hizi bali ni hujuma ya kimkakati ili kuonesha kuwa Tanzania na mashabiki wake wa soka ni wakorofi ili tu AFCON isifanyikie kwetu.

Provocation ya mashabiki wa Yanga kule kongo ni tukio lingine la "hujuma mkakati".

Soma Pia: Klabu ya Simba yalaani vurugu zilozofanywa na Klabu ya CS Sfaxien jijini Dar


Kwa muktadha huu tujipange vilivyo kukabili vita hii ya kiuchumi na kidiplomasia. Uchambuzi huu huwezi kuupata popote zaidi ya JF Ipo siku mtaikumbuka hii thread!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Usikute kabisa ni mashabiki wa Yanga ndiyo waliofanya hivi baada ya kushikwa na hasara kuona wapinzani wao wameshinda na wao kutoa sare jana yake.
Hii iko wazi.
Mashabiki wa yanga wana chuki kuliko unavyodhani.
Kitendo cha kuwa na mashabiki wanaowavalisha jezi za Simba ni mkakati wa kimafia ambao una lengo la kushusha hadhi ya Simba.

Waliong'oa viti pale ni mashabiki wa yanga wanaovaa jezi za Simba.
Tatizo la Simba ni kucheka na manyani kama hao akina mchome

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hii iko wazi.
Mashabiki wa yanga wana chuki kuliko unavyodhani.
Kitendo cha kuwa na mashabiki wanaowavalisha jezi za Simba ni mkakati wa kimafia ambao una lengo la kushusha hadhi ya Simba.

Waliong'oa viti pale ni mashabiki wa yanga wanaovaa jezi za Simba.
Tatizo la Simba ni kucheka na manyani kama hao akina mchome

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Yanga ni timu isiyofanya vizuri kimataifa, wakiwaona Simba wanafanya maajabu kama vile kuwafunga Waarab kitu ambacho wao Yanga hawawezi lazıma watafanya vurugu na kusingizia mashabiki wa Simba. Simba michezo ya kimataifa ni yao na wamezoea, wafanye vurugu sasa hivi ili iweje? Serikali kamateni hawa wana CCM (Yanga) na kuwachukulia hatua kali sana.
 
Yanga ni timu isiyofanya vizuri kimataifa, wakiwaona Simba wanafanya maajabu kama vile kuwafunga Waarab kitu ambacho wao Yanga hawawezi lazıma watafanya vurugu na kusingizia mashabiki wa Simba. Simba michezo ya kimataifa ni yao na wamezoea, wafanye vurugu sasa hivi ili iweje? Serikali kamateni hawa wana CCM (Yanga) na kuwachukulia hatua kali sana.
Klabu ina shinda mchezo wa kimataifa, halafu ina sherehekea kwa kung'oa viti 256?, wakati wa sherehe hizo zenye vurugu, wanapewa fungu la goli la mama,

This, will only happen in Tanzania
 
Klabu ina shinda mchezo wa kimataifa, halafu ina sherehekea kwa kung'oa viti 256?, wakati wa sherehe hizo zenye vurugu, wanapewa fungu la goli la mama,

This, will only happen in Tanzania
Walaumu Yanga na mashabiki wao waliopanga hizi hujuma.
 
Maoni haya ni alert kwa vyombo vyetu vya usalama na diplomasia.

Hakuna cha maana kinachoweza kuelezea vurugu hizi bali ni hujuma ya kimkakati ili kuonesha kuwa Tanzania na mashabiki wake wa soka ni wakorofi ili tu AFCON isifanyikie kwetu.

Provocation ya mashabiki wa Yanga kule kongo ni tukio lingine la "hujuma mkakati".

Soma Pia: Klabu ya Simba yalaani vurugu zilozofanywa na Klabu ya CS Sfaxien jijini Dar

Kwa muktadha huu tujipange vilivyo kukabili vita hii ya kiuchumi na kidiplomasia. Uchambuzi huu huwezi kuupata popote zaidi ya JF Ipo siku mtaikumbuka hii thread!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Viongozi wa Yanga washitakiwe kwa kupanga tukio hili
 
Mashabiki wa UTO wanauchungu sana kwa waarabu kupigwa kuliko wao kupigwa huko Lubumbashi
 
Back
Top Bottom