Vurugu mkutano wa BAVICHA, Waandishi wafukuzwa tena katika ukumbi wa Uchaguzi

Vurugu mkutano wa BAVICHA, Waandishi wafukuzwa tena katika ukumbi wa Uchaguzi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kutoka Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam (leo, Jumanne ya Januari 14.2024) vurugu zimeshuhudiwa tena kati ya wanahabari na baadhi ya vijana wa BAVICHA ambao wamepinga wanahabari kuwepo kwenye ukumbi wa uchaguzi, wanahabari waliingia ukumbini hapo baada ya kuruhusiwa na msimamizi wa uchaguzi huo ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu

Kwa sasa wanahabari hao bado wanaendelea kusota nje, walisubiri endapo kama watapata 'huruma' ya kuruhusiwa kurejea ukumbini tena.
Pia, Soma:
 
Kutoka Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam (leo, Jumanne ya Januari 14.2024) vurugu zimeshuhudiwa tena kati ya wanahabari na baadhi ya vijana wa BAVICHA ambao wamepinga wanahabari kuwepo kwenye ukumbi wa uchaguzi, wanahabari waliingia ukumbini hapo baada ya kuruhusiwa na msimamizi wa uchaguzi huo ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu

Kwa sasa wanahabari hao bado wanaendelea kusota nje, walisubiri endapo kama watapata 'huruma' ya kuruhusiwa kurejea ukumbini tena.
Pia, Soma:
Vijana wa Chadema wanapenda show za gizani.
 
Hii b12 imeivuruga sana Chadema alaaniwe Sultan Mbowe na nyumbu wake.
 
Hawa ndio huwa wanahubiri uhuru wa vyombo vya habari.

Mahuni huni tu
 
Back
Top Bottom