LGE2024 Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani

LGE2024 Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu katika kitongoji hicho.

Chanzo: ITV
https://www.instagram.com/p/DBd_RLfo57E/comments/
 
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu katika kitongoji hicho.
ITV

 
CCM baba lao ona wana CCM walivyo wengi hapo wengi wanataka kugombea tofauti na Chadema Inahangaika kutafuta wagombea
 
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu katika kitongoji hicho.

Chanzo: ITV

View: https://www.instagram.com/p/DBd_RLfo57E/comments/

Haya majangili yanapambana kwenda kuibia wananchi
 
Kukish
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu katika kitongoji hicho.

Chanzo: ITV

View: https://www.instagram.com/p/DBd_RLfo57E/comments/

Kukishakosekana haki hakuna amani. Sasa bado Uchaguzi wa vyama vyote hapo patachimbika kweli kweli sema tu Polisi wataingilia kupendelea la sivyo patachimbika balaa.
 
Huyo mzee aliyekua anaongea hapo mwishoni ni snitch vibaya mno na ndio kaharibu mambo yote ,wananchi hawamtaki ila yeye ana genge lake ndio linampigania apite mwisho wa siku mwenyewe anahemea juu juu alifikiri atapitishwa kirahisi.
 
Huyo mzee aliyekua anaongea hapo mwishoni ni snitch vibaya mno na ndio kaharibu mambo yote ,wananchi hawamtaki ila yeye ana genge lake ndio linampigania apite mwisho wa siku mwenyewe anahemea juu juu alifikiri atapitishwa kirahisi.
Huyo mzee aliyekua anaongea hapo mwishoni ni snitch vibaya mno na ndio kaharibu mambo yote ,wananchi hawamtaki ila yeye ana genge lake ndio linampigania apite mwisho wa siku mwenyewe anahemea juu juu alifikiri atapitishwa kirahisi.
Kumbe unamfahamu
Wewe uko upi kwanza au mpinzani wake ?
 
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu katika kitongoji hicho.

Chanzo: ITV

View: https://www.instagram.com/p/DBd_RLfo57E/comments/

Wapasuane tu washenzi wakubwa hawa majizi ya kura wauane kabisa
 
Back
Top Bottom