Vurugu zazuka Kanisani la KKKT Dayosisi ya Konde Mbeya, Ibada yavunjika, Polisi wakamata viongozi

KKKT watumie busara kumsimamisha huyo mchungaji kwa muda (iwe ndo imetoka hiyooooooo) ili kupoza waumini
 
KKKT watajuta kukabidhi mamlaka ya Kanisa kwa mangi.

Na baado.

Hapo sababu Ni MASLAHI/MATEMA BEACH
 
Kwahiyo ukiacha ule mgogoro wa kugombea kuamishwa kwa makao makuu ya jimbo huu ni mgogoro mwingine? Tena kwenye jimbo lile lile?
 
Hata kama walikuwa na tatizo naye. Kumtakaza mchungaji kwenda kuongoza ibada siyo jambo jema na zuri. Wajitathimi
Hiyo ndiyo nzuri mkuu, wewe huwajui viongozi wa kidini.

Bahati mbaya hao ni sehemu ndogo sana ya ubadhirifu unaofanywa na hao sijui makasisi, maaskofu, wachungaji nk, yaani kuna madudu huko kwenye makanisa ayayayayaaa.
 
Ni maajabu ana kesi moja tu ya kutumia vibaya mali za kanisa.

Mara zote matumizi mabaya ya mali yanaambatana na uzinzi.
Huenda ameshakula baadhi ya kondoo hapo, si unajua tena akina Atuganile walivyo jazia lazima tu pastor kawala [emoji23]
 
Mkiambiwa Roman Catholic ni taasisi imara kibinadamu na kiroho msiwe mnakuwa wabishi. Hiyo ni laana ya kuasi kanisa la Kristu, na hii ni kwa all Protestants (they protested)
Umetoka nje ya mada bwasheee ....Tukiambiwa na nani??
 
Hata kama walikuwa na tatizo naye. Kumtakaza mchungaji kwenda kuongoza ibada siyo jambo jema na zuri. Wajitathimi
Kwanini akaidi? Wapi ulisikia Yesu anajipendekeza kwa wasiomtaka kwamba walimfukuza akalazimisha kukaa nao.

Ukikaidi utapigwa tu
 
Vitu vya aibu sana!! Sidhani kama wapo kumtumikia Mungu kweli! Wapo kumtumikia matumbo yao! Na hayo ndiyo watakayovuna!!
 
Mkiambiwa Roman Catholic ni taasisi imara kibinadamu na kiroho msiwe mnakuwa wabishi. Hiyo ni laana ya kuasi kanisa la Kristu, na hii ni kwa all Protestants (they protested)
Ukikuta katika jamii hakuna migogoro ni either watendwa wamekubali kuwa kondoo au vinginevyo.
Hivi unajua mbinguni penyewe Mungu alikua na mgogoro na shetani?!
So upepo kutokuuona kwa macho namna unavyovuma haina maana upepo hauvumi
Jitahidi kuwa mdadisi.
 
Huenda ameshakula baadhi ya kondoo hapo, si unajua tena akina Atuganile walivyo jazia lazima tu pastor kawala [emoji23]
Sasa asipokula kondoo unata ale nini nyasi au? Kondoo wanakula majani kondoo wakinona mchungaji anakula kondoo hii ndio cycle ilivyo.
 
Makubwa
 
Wangewnda kukamata Askofu Shoo inavyoonekana ndiye chanzo
 
Naona jina Judith kajela kuwa ndo Baba Askofu mbeya magharibi, hili jina Judith ni mwanamke Sasa iweje ndo baba Askofu?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hii nguvu ya waumini wa KKKT tukiitumia kwa CCM mbona itakuwa raha Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…