MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Wakuu kuna vurugu zimeanza kwenye maandamano ya NASA yanayoendelea nchini Kenya na kuonyeshwa live na citizen tv ya Kenya, maandamano hayo yanashinikiza kujiuzulu kwa tume ya mipaka na uchaguzi nchini Kenya (IEBC)
Updates
-Wakuu mabomu yamelipuliwa
-watu kadhaa wamekamatwa
Updates
-Wakuu mabomu yamelipuliwa
-watu kadhaa wamekamatwa