MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Raila is hopeless, na hatapata lolote, asahau urais, what is that? Mahakama imempa ushindi, awe mstaarabu!Wakuu kuna vurugu zimeanza kwenye maandamano ya NASA yanayoendelea nchini Kenya na kuonyeshwa live na citizen tv ya Kenya, maandamano hayo yanashinikiza kujiuzuru kwa tume ya mipaka na uchaguzi nchini Kenya (IEBC)
Wakuu kuna vurugu zimeanza kwenye maandamano ya NASA yanayoendelea nchini Kenya na kuonyeshwa live na citizen tv ya Kenya, maandamano hayo yanashinikiza kujiuzulu kwa tume ya mipaka na uchaguzi nchini Kenya (IEBC)
hahaha madaraka matamu atii huoni hata nanihii anaanza kutuma majamaaa waseme yale wanayoyasema bungeniRaila hana akili hata kidogo,jaluo lile.
You guy are full of shit, Kenya inakuuma sana lakini hamna namna ulishaolewa na CCM! Baki ndani ya ndoa kama mke mnyeyekevu. Acha kuwashawashwa!Kenya is full of shit!
Kajambe kuleRaila sio mstarabu,hawa wapinzani ukiwachekea sana wanataka kukupanda kwa kichwa. Uhuru ustaharabu utamponza.
Watanzania ni maiti mkuu, wanapelekeshwa kama misukule ya ulanga huo ni upuuzi wa karne.Huu upumbavu ndio watu wanauita democracy, Asante Tanzania kwa kunyoosha watu wanayo discipline huwezi kukuta huu upuuzi.
HahaaahaKajambe kule