Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Ruto ni huwa ana akili sana,but sometime anakuwaga mjinga eti anasema yeye ndio alimsaidia raila kuwa P.M bull shit.
Siasa za kenya msingi wake ni watu 2 baba yake uhuru na baba yake raila,hata akina moi na kibaki wamepata uongozi kutokana na kutaelewana kwa hao wazee 2.
Bahati mbaya sana bado watoto wa wazee hao (raila na uhuru) ndio msingi wa siasa za kenya.ni rahisi kwa raila odinga kuwa next president wa kenya kuliko ruto.
Ruto inabidi achange karata zake vizuri-ajue fika hii ni siasa asipokaa vizuri yanaweza yakamkuta ya gorge saototi.
Uhuru ndiye atakaye chagua atakaye mrithi,anaweza akataka kurudisha fadhila kwa raila kwa jinsi ambavyo baba yake oginga alimsaidia kumto jela baba yake uhuru.
Wewe unajua Kenya imeendelea kuwashinda ama unaropokwa tu ili usikike.Laana aliyowaachia MZEE Jommo Kenyatta kwa kukataa mawazo ya Nyerere kuunganisha EA.
Sent using Jamii Forums mobile app
1)NjaaWewe unajua Kenya imeendelea kuwashinda ama unaropokwa tu ili usikike.
Pamoja na hayo yote bado tumewashinda kwenye maendeleo1)Njaa
2)Ukabila
3)Slums
4)Election violence
5)Crime
6)Police brutality
7)Terrorism
8)Corruption
9)Poverty
10)Deni lisilolipika la Taifa
Kama hayo ndiyo maendeleo, basi ninakubaliana na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruto ni huwa ana akili sana,but sometime anakuwaga mjinga eti anasema yeye ndio alimsaidia raila kuwa P.M bull shit.
Siasa za kenya msingi wake ni watu 2 baba yake uhuru na baba yake raila,hata akina moi na kibaki wamepata uongozi kutokana na kutaelewana kwa hao wazee 2.
Bahati mbaya sana bado watoto wa wazee hao (raila na uhuru) ndio msingi wa siasa za kenya.ni rahisi kwa raila odinga kuwa next president wa kenya kuliko ruto.
Ruto inabidi achange karata zake vizuri-ajue fika hii ni siasa asipokaa vizuri yanaweza yakamkuta ya gorge saototi.
Hahahaha, labda kwa kutumia" definition" ya Kibera ya maendeleo. Au unamaaanisha kuwa na "Malls" na mashamba ya wazungu?.Pamoja na hayo yote bado tumewashinda kwenye maendeleo
Raila ni Mjaluo,Uhuru ni mkikuyu. Hivyo ni makabila tofauti.Ukabila wa Kenya Ruto asahau kupata Urais Bora Raila maana ni kabila moja na Uhuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo makini sanaKwa vyovyote vile inavyoonekana katika siasa za Kenya, Ruto ndio determinant factor ya kuupata urais. Ruto ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
Binafsi sioni namna yoyote kisiasa wanaweza kumzuia Ruto asiwe rais wa Kenya lakini pia sioni namna yoyote Ruto anaweza kuwa rais wa Kenya ajaye! Ni fumbo.
Ombi langu kwa Ruto tu hapa, ninamshauri awe makini. Lolote ovu linaweza kumkuta.
Yupo ngangariKwa vyovyote vile inavyoonekana katika siasa za Kenya, Ruto ndio determinant factor ya kuupata urais. Ruto ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
Binafsi sioni namna yoyote kisiasa wanaweza kumzuia Ruto asiwe rais wa Kenya lakini pia sioni namna yoyote Ruto anaweza kuwa rais wa Kenya ajaye! Ni fumbo.
Ombi langu kwa Ruto tu hapa, ninamshauri awe makini. Lolote ovu linaweza kumkuta.
Ruto sio determinant ila kabila lake huko eneo la Rift Valley ndio determinant.Kwa vyovyote vile inavyoonekana katika siasa za Kenya, Ruto ndio determinant factor ya kuupata urais. Ruto ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
Binafsi sioni namna yoyote kisiasa wanaweza kumzuia Ruto asiwe rais wa Kenya lakini pia sioni namna yoyote Ruto anaweza kuwa rais wa Kenya ajaye! Ni fumbo.
Ombi langu kwa Ruto tu hapa, ninamshauri awe makini. Lolote ovu linaweza kumkuta.
Mkuu unasahau block za Kikabila si mbili tu. Kuna kikuyu, Luhya, Kalenjin, Luo na kambaRuto sio determinant ila kabila lake huko eneo la Rift Valley ndio determinant.
Kama Raila akiweza kupata support ya Uhuru itakuwa tayari ana kura million karibu 4 za LUO+GIKUYU
challenge itakuja kumvuta Gideon Moi upande wake ili kupunguza kura za Rift valley.
Hapo akiwa ensured pia kura za coast basi mchezo utaisha mapema.
All in all kosa kubwa alilofanya Odinga 2013 ni kuzipuuza kura za Rift valley na kuziacha ziende kwa uhuru..... Ndio ilikua kaburi lake
Mkuu Luo Luhya Kamba na Coast zilizaa kura million 6 ila Kalenjin + Gikuyu zilizaa zaidi ya 7 million ssa mpaka hapo unaweza ona Odinga alihitaji kura angalau nusu za Kalenjin angeshinda kwa mbali sana.Mkuu unasahau block za Kikabila si mbili tu. Kuna kikuyu, Luhya, Kalenjin, Luo na kamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubepari na ujamaa haviwezi unganaLaana aliyowaachia MZEE Jommo Kenyatta kwa kukataa mawazo ya Nyerere kuunganisha EA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruto and odinga are not good for Kenya you will suffer nusu mkate stay away forUhuru ndiye atakaye chagua atakaye mrithi,anaweza akataka kurudisha fadhila kwa raila kwa jinsi ambavyo baba yake oginga alimsaidia kumto jela baba yake uhuru.