MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
We lijamaa!!! Leo umekuja na I'd nyingine sio? Hamna shida lkn.Tumeanza Kwanza leo na Kiungo Mkabaji Fundi Morice Chwuku kisha tunamalizana na ama Kumuuza Kanoute au Sakho ili Ceaser Lobi Manzoki atue Simba SC. Haendi Yanga SC msidanganywe.
Huyo Manzoki kuna lipi kubwa alilowahi kufanya katika soka!!?? Yaani umuuze Kanoute au Sakho kisa mchezaji ambaye huna uhakika na kiwango chake!!!??Tumeanza Kwanza leo na Kiungo Mkabaji Fundi Morice Chwuku kisha tunamalizana na ama Kumuuza Kanoute au Sakho ili Ceaser Lobi Manzoki atue Simba SC. Haendi Yanga SC msidanganywe.
Nakuona Mzee SAUT! Nakuona unakula tu ubuyu.Tumeanza Kwanza leo na Kiungo Mkabaji Fundi Morice Chwuku kisha tunamalizana na ama Kumuuza Kanoute au Sakho ili Ceaser Lobi Manzoki atue Simba SC. Haendi Yanga SC msidanganywe.
Banda aende wapi?Nikiandika hapa KAMATI ya usajili ya Simba na makosa unayo yafanya.
Akpan ni No 8 YEYEE NI BOX TO BOX....
Sakho auzwe maana bei yake kwasasa imechangamka...Tumeanza Kwanza leo na Kiungo Mkabaji Fundi Morice Chwuku kisha tunamalizana na ama Kumuuza Kanoute au Sakho ili Ceaser Lobi Manzoki atue Simba SC. Haendi Yanga SC msidanganywe.
Nikiandika hapa KAMATI ya usajili ya Simba na makosa unayo yafanya.
Akpan ni No 8 YEYEE NI BOX TO BOX
sio namba sita CDM KUCHUKUA NAFASI YA LWANGA.
1. EIther ilikuwa abaki Akpan au Kanute.
Au wote.
2. Wamuache Banda na DEJAN.
Gadiel,Boko Nyoni,ni MIZIGO.
NB. WASIJE WAKAWAACHA AKPAN NA KUMUUZA KANUTE. WATAKUWA WAMEFANYA KOSA LA KARNE.
Nikiandika hapa KAMATI ya usajili ya Simba na makosa unayo yafanya.
Akpan ni No 8 YEYEE NI BOX TO BOX
sio namba sita CDM KUCHUKUA NAFASI YA LWANGA.
1. EIther ilikuwa abaki Akpan au Kanute.
Au wote.
2. Wamuache Banda na DEJAN.
Gadiel,Boko Nyoni,ni MIZIGO.
NB. WASIJE WAKAWAACHA AKPAN NA KUMUUZA KANUTE. WATAKUWA WAMEFANYA KOSA LA KARNE.