VVU & Sheria

Joined
Jan 2, 2012
Posts
12
Reaction score
1
Zingatia ukimwi ulivyoenea na unavyozidi kutafuna nguvu kazi ya Tanzania je, bunge likitunga sheria ya kuwa kila wawili wanaotaka kufunga ndoa wapimwe afya zao juu ya VVU sheria hiyo itakuwa halali? kwa maslahi ya nani?. Na kama haitakuwa halali ni kwa maslahi ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…