VW models

Nasikia VW ni matokeo ya ubabe wa Adolph Hitler,yani mzee Hitler aliwaweka ndani mainjinia wabuni gari lisilotumia maji,wakishindwa anaua mmoja baada ya mmoja,ndo wakabuni VW,,je'hii habari ni kweli?
Sikuwa najua hii fact chief, noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…