Mzee ur busy kama server za utumishi, au baraza la mitihani wakati wa matokeo.. [emoji23]Swali la kizushi hizi picha zote huwa unatumia mda gani kuzitafuta,
Upge gambe,
Ufanye meditation
Upge mambo ya kilingeni?
Ulitumikie taifa kwa kuwasiliana na rasi tolu wa visiwa cha mafia?
Uhudumie ndoa?
Utafute picha za watoto?
Mzee ur busy kama server za utumishi, au baraza la mitihani wakati wa matokeo..
Hongera mzee baba,