VW Touareg third generation!

VW Touareg third generation!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Hiki ndiyo kizazi cha 3 cha VW touareg, cha kwanza kilikuwa 2002, cha pili kuanzia 2010 na sasa 3.

ukiangalia wameboresha sana hasa kiteknolojia!

327.229.009



img.jpg




image-1284915-galleryV9-zddf-1284915.jpg


Siyo tu Matairi ya mbele bali hata matairi ya nyuma pia hukata kona!

img.jpg

img.jpg



Sound system ya ukweli 7.1 dolby surround, kuna speaker 14 gari nzima!

img.jpg


image-1284913-galleryV9-jist-1284913.jpg


volkswagen_touareg_011_5ab4a50ae8676.jpg



img.jpg


img.jpg


A.C kila mtu anachagua nyuzi joto anayotaka, yaani kama dereva anataka nyuzi joto 20 atapata na abiria anataka 21 vyote vinawezekan kwa wakati mmoja, yaani kila mtu anapata ubaridi wake kwa wakati mmoja!

img.jpg



Kufungua buti hauhitaji kuligusa bali kuna sensor ukiweka mguu tu chini buti linafungunguka lenyewe hivyo huhitaji kutua mzigo chini na kufungua buti.
img.jpg


Enzi za kubamiza mlango ili ufunge vizuri zimekwisha na sasa kidogo ukivuta mlango unajifunga wenyewe kabisa!
img.jpg



image-1284902-galleryV9-dtol-1284902.jpg



img.jpg




image-1284905-galleryV9-kpum-1284905.jpg


3 liter, 286 HP!

image-1284908-galleryV9-yict-1284908.jpg




img.jpg




img.jpg
 
Kutakuwa kuna namna ambayo una bofya kitufe au remote ili kuruhusu sensor ya mguu. Kama hujaruhusu haifanyi kazi.
Castr
 
Hizi Toureg mbona kama nilisikia walizi-discontinue baada ya ile issue yao ya USA..?
 
Itajuaje kama huu mguu ni wa mmiliki wa hili gari?

Your laptop gone


Nafikiri ufunguo unakila kitu labda anabonyeza kwanza kitufe kwenye ufungo halafu milango na loki nyingine zinajiachia!
 
Binafsi nimeielewa kichz asee,, hiyo ya tair za nyuma kukata nyuma imekaaje mkuu
 
Unaposema 7.1 Dolby Sorround una maana Audio System 1 lkn ina Speaker 7, naishangaa hiyo speaker 14 imetoka wapi?
 
Binafsi nimeielewa kichz asee,, hiyo ya tair za nyuma kukata nyuma imekaaje mkuu


Inasaidia kupunguza Duara ukikata kona yaani mzunguko unakuwa mdogo, klk ukitumia tu matairi ya mbele kama tulivyozoea.
 
Ni gari nzuri sana ila bado mm naamini SUV bora zaidi kwa mazingira yetu ya kiafrica ni Toyota Landcruiser ikifuatiwa na Nissan Patrol then Land Rover defender
 
Back
Top Bottom