Chair fire ni nini mkuu????Mkuu Mbaga jr, chair fire hafai kuliwa wataalamu wanasema kuwa ukizoea sana kula nyama ya chair fire kuna hatari kubwa ya mtu kugeuka shoga kwa sababu katika wanyama wanaofanya ushoga ni jamii ya nyani na chair fire na kama utakumbuka au unajua wataalamu wa lishe wanasema "we/you are what we/you eat".
Ukiangalia historia ya mashoga wengi utakuta walianza kula chair fire toka wakingali wadogo hadi ukubwani wanaendelea kula.
Chair fire ni "sumu" yenye uhai.
Ndo hautakufwa?Unapaswa kuvijua ili upunguze matumizi yake kila siku kwa kuepuka kwa kinga zako kudhofika na kupungua, kuongeza sumu kwenye mwili na kinga zako, kudhofisha viungo mbalimbali na kupelekea saratani pamoja na kufail kwa viungo mbalimbali vya mwili kama vile ini na figo.
1. Maji ya kunywa ya viwandani mengi pH zake zipo.kati ya 6 badala ya 7 (natural)
2. Nyama nyekundu e.g Ng'ombe
3. Maharagwe
4. Sukari e.g Miwa
5.Mafuta ya kupikia e.g Pamba
6. Mahindi makavu
7. Soda
8. Maziwa e.g Ng'ombe
9. Pombe
10. Vyakula vya ngano e.g MikateView attachment 868475
kwahy me na familia yangu wote mashoga..? mana hcho ndo kifungua kinywa cha kila siku.
Chair fire ni nini mkuu????
Hata
Maziwa ?
Miwa ?
Maji ?
Mwisho mtasema tushinde na njaa tu
Mkuu Mbaga, naomba unielewe mimi sijakuita shoga ila nadhani taarifa niliyokupa labda ulikuwa huifahamu, ni kwamba nyama ya chair fire (kiti moto) ina athari mbaya katika mwili wa binadamu, na athari zinaweza kutokea papo kwa papo pindi mtu anapotumia hiyo nyama mfano wengine hutokwa na mapele muda mfupi tu baada ya kula na kuna baadhi ya watu wengine athari zake zinatokea baada ya muda mrefu sana ambazo ndiyo mbaya sana kwa sababu hadi mtu agundue kuwa hizo athari zimetokana na kula nyama ya chair fire itakuwa "too late" au asijue kabisa.
Kiti moto (chair fire) ni "omnivorous" yaani anakula vitu vingi kama alivyo mtu, wanasayansi wanasema "you are what you eat" yaani mwili wako upo kulingana na vyakula ulavyo, hivyo basi mwili wa chair fire unafanana kwa kiasi kikubwa na mwili wa binadamu katika "metabolism" na ndiyo maana macho na baadhi ya viuongo vya chair fire
kwa hizi notice za capitalism(history two) ulizonipa, ngoja niwe mpole tuu
Chair fire ni kiti moto (nguruwe).
Yaani, chair=kiti, na fire=moto.
Hayo ni maneno ya Mbaga jr.
mbaga jr ni nini ?
Chair fire ni kiti moto (nguruwe).
Yaani, chair=kiti, na fire=moto.
Hayo ni maneno ya Mbaga jr.
Hahahaaaaaaaaa!!! Mbona maji ya betriNakunywa maji ya Betri sembuse kutafuna Miwa!
kamanda mbao za mawe umetishaNakunywa maji ya Betri sembuse kutafuna Miwa!
Hivi huwa navishindilia hasa...mfano nachanganya maharagwe na mtindi kwa pamoja na kusindikiza na ugali huku nikipoza na maji nusu lita. Sasa nipunguzi nile nini?2. Nyama nyekundu e.g Ng'ombe
3. Maharagwe
4. Sukari e.g Miwa
5.Mafuta ya kupikia e.g Pamba
6. Mahindi makavu
8. Maziwa e.g Ng'ombe (Hasa mtindi)
The good thing about science is whether is true or not you have to believe itmara ugali mara wali mara nyama mara mayai wakati zamani mlitufundisha mayai ni protein sa hv mnakataa sijui yana madhara..kila kukicha hiki sio hiki blahblah.....bora kula tuuu
Nakunywa maji ya Betri sembuse kutafuna Miwa!